Na Victor Bariety,Sengerema 09/09/2014
Katika hali ya kushangaza,mkazi mmoja wa kijiji cha lushamba katika kisiwa cha yozu kata ya bulyaheke wilayani sengerema mkoa mwanza amejikuta akikatwa sikio la kushoto na baba mkwe wake walipokuwa wakigombea filigisi wakati wa chakula cha mchana .
Katika hali ya kushangaza,mkazi mmoja wa kijiji cha lushamba katika kisiwa cha yozu kata ya bulyaheke wilayani sengerema mkoa mwanza amejikuta akikatwa sikio la kushoto na baba mkwe wake walipokuwa wakigombea filigisi wakati wa chakula cha mchana .
Mwenyekiti wa wa kitongoji
cha yozu,Samwel Osango amethibitisha kuwepo kwa tukio hilo lililotokea septemba 7 mwaka huu,majira ya mchana na kumtaja aliyekubwa na kisanga hicho kuwa ni Amos
Machela[30] mkazi wa kitongoji hicho cha yozu.
Amesema kuwa siku ya tukio kijana huyo alitembelewa na baba mkwe wake Michael Charles kwa lengo la kuwasalimia kama ilivyo mira na desturi za kitanzania.
Amesema kuwa siku ya tukio kijana huyo alitembelewa na baba mkwe wake Michael Charles kwa lengo la kuwasalimia kama ilivyo mira na desturi za kitanzania.
Amefafanua kuwa,baada ya
kufika kwake alimkalibisha mgeni nyumbani kwake ndipo kijana huyo alimwamulu
mke wake kuandaa kitoweo kwa ajili ya mgeni huyo(mkwewe).
''Wakiwa wanasubili chakula waliondoka na kuelekea baa kwa lengo la kubadilishana mawazo kwani ni muda mrefu walikuwa bado hawaja onana''.
''Wakiwa wanasubili chakula waliondoka na kuelekea baa kwa lengo la kubadilishana mawazo kwani ni muda mrefu walikuwa bado hawaja onana''.
''Baada ya kutoka baa walirudi
nyumbani ili wapate chakula ambapo walikuta chakula kiko tayari''
''Baadaye kijana huyo alitoka kidogo na kumwambia mzee akute anaendelea kupata na baada ya kijana huyo kurudi alikuta filigisi haimo kwenye bakuri na ndipo alipotaka kujua aliyekula filigisi ile na mzee huyo(mkwewe)alimjibu kuwa ni yeye na ugomvi ulianzia pale''alisema Osango.
''Baadaye kijana huyo alitoka kidogo na kumwambia mzee akute anaendelea kupata na baada ya kijana huyo kurudi alikuta filigisi haimo kwenye bakuri na ndipo alipotaka kujua aliyekula filigisi ile na mzee huyo(mkwewe)alimjibu kuwa ni yeye na ugomvi ulianzia pale''alisema Osango.
Amesema kutokana na majibu yale kijana huyo alichukia na
kutamka hadharani kuwa mzee huyo alikuwa amemkosea.
''mila za kabira la wakulya filigisi huliwa na baba mwenye mji wewe utakulaje''alisema Osango huku akinukuu maneno ya kijana yule.Kutokana na hali hiyo tafrani ilinza huku kila mmoja akimtuhumu mwenzake kuwa hana adabu ambapo kwenye ugomvi huo kijana huyo kukatwa sikio lake la kushoto.
''mila za kabira la wakulya filigisi huliwa na baba mwenye mji wewe utakulaje''alisema Osango huku akinukuu maneno ya kijana yule.Kutokana na hali hiyo tafrani ilinza huku kila mmoja akimtuhumu mwenzake kuwa hana adabu ambapo kwenye ugomvi huo kijana huyo kukatwa sikio lake la kushoto.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni