Ijumaa, 24 Oktoba 2014

HABARI KATIKA PICHA BUS LIKITEKETEA KWA MOTO

NA ELIUD DALEI 24/10/2014

Basi lenye namba T 846 la kampuni ya CITY BOY lililokuwa likitokea jijini Dar kwenda Kahama Mkoani Shinyanga likiteketea kwa moto eneo la Saranda Mkoani Singida jana(juzi).





 Basi hilo liliokolewa na kondakta ambaye baada ya kuona dereva wake amekimbia aliamua kuliondosha eneo hilo huku likiendelea kuwaka moto na kwenda kulitumbukiza ndani ya bwawa mita zaidi ya 300 kutoka eneo la tukio ambako kwa kushirikiana na wananchi walifanikiwa kuzima moto huo kabla haujaleta madhara makubwa kwa gari hilo(Picha zote na Victor Bariety aliyekuwa safarini akitokea Dar kwenda Geita)






Hakuna maoni:

Chapisha Maoni