Ijumaa, 8 Januari 2016

usafi

swala la usafi nchini liwe endelevu,kwasababu mazingira kwa hivi sasa yameonekana kuwa safi zaidi na wananchi wanajitahidi sana ,sijui kwasababu wanaogopa faini au la? haya sasa kwazi kwenu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni